Vyema kbs naona mambo yanazidi kujipa kimentali na kisomi kuuinua mziki wa Afrika mashariki. Chukuweni maua yenu🎉🎉🎉🎉 🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌺🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌺🌺🌺🌺🌺🌺
@omolomaxfitnessbodylifetim8252 Says:
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@Papa_media_tv-xw2bh Says:
RJ THE DJ nakupenda
@NkusiFred Says:
Huyu mushikaji hapo ameongea ukweli mukamilifu HANA💯% hata Mimi nakiri kabisa Diamond nimekuwa shabiki wake Toka ujyio wake lakini siku hizi hafanyi vizuri mfano wangoma zake ambazo mpaka wa Leo naweza nikasiliza (mbagala, moyo wangu, tandale) hata yule bwana mdogo harmonize(nishacoka, niambie, atarudi) alafu mbosso (nadekezwa, kiyama, maajab)
YOUTUBE COMMENTS